Kim Kardashian Amuonyesha Mtoto Wake wa Tatu kwa Mara ya Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kim Kardashian Amuonyesha Mtoto Wake wa Tatu kwa Mara ya Kwanza

Leo February 27,2018 kupitia mtandao wa instagram, Staa Kim Kardashian ambaye umaarufu wake umekuja zaidi katika kipindi cha “Kardashians” huko nchini Marekani ambapo ameamua kuweka wazi uso wa mtoto wake wa tatu kwa mara ya kwanza katika mitandao ya kijamii.

Kupitia ukurasa wake wa instagram Kim Kardashian ameandika “Baby Chicago”


Mtoto wa tatu wa Kim Kardashian na rapper Kanye West ambaye ni Chicago alizaliwa mwezi uliopita kwa njia ya upandikizaji “surrogate” ambapo mwanamke huyo alilipwa hela kwaajili ya kumzalia Kim Kardashian pamoja na Kanye West mtoto wa tatu.

Wazo hilo la upandikizaji lilikuja katika familia ya West ambapo Kim Kardashian alishindwa kubeba ujauzito kutokana na sababu za kiafya ambazo zingempelekea kupoteza maisha na hii ni kutokana na report aliyoitoa daktari wa Kim Kardshian.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad