Mo Music Afanyiwa Unyama na Mchumba Wake Aamua Kuolewa na Mwanaume Mwingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mo Music Afanyiwa Unyama na Mchumba Wake Aamua Kuolewa na Mwanaume Mwingine
MSANII anayetamba na Wimbo wa Bajaj, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amejikuta kwenye msongo wa mawazo baada ya mwanamke aliyekuwa mbioni kumuoa aitwaye Iptisam kuolewa na mtu mwingine, kutokana na mvutano wa dini baina yao.

Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichopo karibu na msanii huyo, Mo Music alikuwa ameshatoa posa hadi mahari lakini tatizo likawa kwenye dini; yeye Mkristo binti Muislam na wote hawakuridhia kutoka kwenye dini zao, ndipo msichana huyo akachumbiwa na mtu wa dini yake na kuamua kumtosa mshkaji bila kurudisha mahari.

Kutokana na ishu hiyo paparazi wetu alimvutia waya Mo Music ambaye alikuwa na haya ya kusema; “Dah umenitonesha kidonda, ni kweli demu kaolewa wiki iliyopita, kitendo cha kubadili dini ningewakera wazazi wangu ndo’maana nikawa nasuasua, tupo kwenye mvutano waturudishie mahari yetu wanatuzungusha.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad