MSIBA WA AKWILINA: Mnyika Aeleza Barua Waliyoipokea CHADEMA kutoka Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika February 19, 2018 amezungumza na AyoTV na millardayo.com akiwa nyumbani kwenye msiba wa Akwilina Maftah.

Mnyika ametoa pole kwa familia ya Akwilina kwa msiba uliotokea na kutaka watu kuacha kuzungumza mambo yasiyohusu msiba kwa sasa pia Mnyika amegusia kuhusu barua waliyoipokea kutoka Jeshi la Polisi ikitaka baadhi ya Viongozi wa Chama hicho kufika ofisi za jeshi la Polisi.

“Nimepewa taarifa kwamba Jeshi la Polisi limepeleka Barua makao makuu ya Chama likituita baadhi ya Viongozi ambao limetutaja kwa majina, wamechelewesha barua makusudi pamoja na kwamba barua imechelewa wameambiwa watutafute popopte tulipo,” -Mnyika VIDEO:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad