AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bi. Zena ambaye ni mfanyabiashara wa chakula akiwa nchini alifika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka Ghana (KIA) akitumia Ndege ya Shirika la Rwanda Air yenye namba ET 200 ambapo maofisa hao walibaini shehena hiyo ya dawa hizo haramu zilizowekwa katika bahasha mbili.
Akihojiwa na maofisa hao, alikiri kumiliki bahasha hizo na kukiri kuwa alipewa na Bwana Mandanje Omari raia wa Tanzania na kutakiwa kuzifikisha kwa mtu mmoja anayeishi katika Jiji la Accra.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK