AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hitmaker huyo wa ngoma ‘Komela’ ameiambia XXL ya Clouds Fm kwa sasa hana ujauzito ila anachokumbuka kwa sasa ni ujauzito wake wa kwanza ambao aliupata akiwa na umri wa chini ya miaka 18.
“Nilipopata ujauzito sikuwa najua, nilikuwanahisi ni Malaria nikaambiwa niende kupima pale hospital ile karatasi ya majibu nilipewa nikambiwa nipeleke nyumbani nilipofika nilimkabidhi dada yangu sikujua kama ni majibu kuwa ni ujauzito,” amesema Dayna.
Dayna ameongeza kuwa mtoto wake kwa sasa ana umri wa miaka 11 na anahitaji afike mbali kielimu asiwe kama yeye ambaye alishindwa kumaliza elimu ya sekondari.
Siku ya wapendanao (Valentine Day) February 14 mwaka huu aliposti picha katika ukurasa wake wa Instagram ambayo ilipelekea wengi kudhani Dayna ni mjamzito.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK