AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maelezo hayo yamekuja kutokana na madai yaliyokuwa yumeenea kwamba, mbali na kufanya mambo mengine lakini pia anatibu kwa kutumia Quran na amekuwa akifanya hivyo tangu alipokuwa Zanzibar.
Akizungumza na Risasi Jumamosi, Uchebe alifunguka hivi: “Kama unavyojua kumuombea mtu dua ni jambo la kawaida lakini anayesaidia ni Mungu, hata wewe nakuombea tu dua na Mungu ndiye anasaidia ila hilo la kuwa mganga sijawahi, kazi yangu ni fundi wa magari,” alisema Uchebe
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK