Nina Mpenzi Ila Ndoa Si Kitu cha Mchezo Mchezo- Snura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nina Mpenzi Ila Ndoa Si Kitu cha Mchezo Mchezo- Snura
MWANAMUZIKI Snura Mushi ameibuka na kusema kuwa, si kwamba hataki ndoa, anaitaka sana lakini akatahadharisha kuwa, mume si kitu cha mchezomchezo hivyo ni vyema kujipanga na kutokurupuka.

Snura alifunguka hayo baada ya kuulizwa kwamba endapo leo atatokea mwanaume na akataka kumuoa, atakuwa tayari? Jibu lake lilikuwa hivi:

“Kiukweli siwezi kukubali kirahisi hivyo eti kwa sababu tu nimetajiwa ndoa, ni lazima nimjue kwanza mtu ni wa aina gani kwani hayo ni maisha yangu.

“Nikiingia kichwakichwa, mwisho wa siku nitaumia na nitakuwa na historia nyingine kabisa kwani sitavumilia,” alisema Snura. Akaongeza kuwa, siyo kwamba yuko singo, mpenzi anaye ila hilo la ndoa ndilo ambalo inabidi kujifikiria sana kabla ya kulipa nafasi ili kuepuka kuja kujuta baadaye.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad