AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Snura alifunguka hayo baada ya kuulizwa kwamba endapo leo atatokea mwanaume na akataka kumuoa, atakuwa tayari? Jibu lake lilikuwa hivi:
“Kiukweli siwezi kukubali kirahisi hivyo eti kwa sababu tu nimetajiwa ndoa, ni lazima nimjue kwanza mtu ni wa aina gani kwani hayo ni maisha yangu.
“Nikiingia kichwakichwa, mwisho wa siku nitaumia na nitakuwa na historia nyingine kabisa kwani sitavumilia,” alisema Snura. Akaongeza kuwa, siyo kwamba yuko singo, mpenzi anaye ila hilo la ndoa ndilo ambalo inabidi kujifikiria sana kabla ya kulipa nafasi ili kuepuka kuja kujuta baadaye.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK