Mwana FA: Hivi Hizi Nywele Mmepatwa na Nini Safari Hii nyi Kina Defao?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwana FA: Hivi Hizi Nywele Mmepatwa na Nini Safari Hii nyi Kina Defao?
Wakati style ya kubadili rangi ya nywele zao na kuweka rangi tofauti tofauti ikiendelea ku-trend, Mwana FA hajakaa kimya katika hilo.

Katika moja ya picha za Ommy Dimpoz ambazo anaonekana na akiwa amepaka rangi kichwani ambazo ameposti katika Instagram, Mwana FA ameandika; Hivi hizi nywele mmepatwa na nini safari hii nyi watoto kina Defao?smh.

Baada ya kuona comment hiyo Ommy Dimpoz alimjibu Mwana FA; mkubwa ukitaka kutisha piga pink 😂😂😂.

Siku za hivi karibuni wasanii wengi wamekuwa wakipaka rangi tofauti tofauti katika nywele zao, miongoni mwao ni Ben Pol, Alikiba, Ommy Dimpoz, Lava Lava, Vanessa Mdee. Hapo awali kulikuwa na Harmonize, Queen Darleen na Amber Lulu ambao wanaendelea hadi sasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. JAMANI SIO SIRI KWA UPANDE WANGU NAONA WAMECHEMKA!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad