AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maneno yanayodaiwa kuambatanishwa na picha hiyo yamesomeka "mnahisi mna bahati,ninyi watu msio na thamani" (“Do you feel lucky, greenie punks?”)
Chama cha Green kimesema kwamba kauli iliyotolewa na mbunge huyo wa Chama cha Conservative ni ya kusikitisha sana na kuainisha kwamba ameitoa kipindi ambacho watu 17 wameuwawa nchini Marekani katika shambulio la bunduki katika shule moja jimboni Florida..
Polisi katika mji huo imesema kwamba inaangalia uwezekano wa ikiwa uchunguzi unaweza kufanyika au la ingawa mbunge huyo amekaririwa akisema kwamba kauli hiyo aliyoituma ilikuwa utani.
Waziri Mkuu wa nchi hiyo Malcolm Turnbull amesema kauli hiyo iliyotumwa katika ukurasa wa facebook wa mbunge huyo haikuwa sahihi.
Taarifa nyingine kutoka makao makuu ya jeshi la polisi nchini humo imesema inapima kauli hiyo kabla ya kuchukua hatuahuku Wapinzani wa kisiasa wakimshutumu Christensen kwa kuchochea vurugu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK