AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sajenti aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, pamoja na kwamba miezi michache iliyopita alipata balaa baada ya ujauzito wake kutoka, lakini bado anaamini Mungu atamsaidia, atapata mwingine.
“Ninamuomba sana Mungu anifanikishe tena kwani nimepanga lazima nimzalie Dullah (Makabila),” alisema Sajenti.
Sajenti aliongeza kuwa, Dullah anapenda watoto na hilo ndilo lililomhamasisha zaidi kutamani kumpatia mtoto.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK