Sajenti Aapa Kumzalia Mtoto Dullah Makabila

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sajenti Aapa Kumzalia Mtoto Dullah Makabila
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Husna Idd ‘Sajenti’ ameapa kuwa lazima ampatie japo mtoto mmoja staa wa Singeli, Abdallah Makabila ‘Dullah Makabila’.

Sajenti aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, pamoja na kwamba miezi michache iliyopita alipata balaa baada ya ujauzito wake kutoka, lakini bado anaamini Mungu atamsaidia, atapata mwingine.

“Ninamuomba sana Mungu anifanikishe tena kwani nimepanga lazima nimzalie Dullah (Makabila),” alisema Sajenti.

Sajenti aliongeza kuwa, Dullah anapenda watoto na hilo ndilo lililomhamasisha zaidi kutamani kumpatia mtoto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad