Serikali ya Kenya Yashtakiwa kwa Kufungia Vituo vya TV kwenye ‘kuapishwa’ Raila

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali ya Kenya Yashtakiwa kwa Kufungia Vituo vya TV kwenye ‘kuapishwa’ Raila
Mwanaharakati nchini Kenya Okiya Omtatah amefungua mashtaka dhidi ya serikali katika Mahakama Kuu kutokana na uamuzi wake wa kuzima vituo vya televisheni vya Citizen TV, NTV na KTN pamoja na Inooro TV siku ya ‘kujiapisha’ Kiongozi wa Upinzania NASA Raila Odinga.

Omtatah ameeleza kuwa kufungiwa kwa vyombo hivyo vya habari  ni kinyume cha sheria na hakuna sheria yoyote iliyowapa mamlaka ya kutekeleza suala hilo.

Amedai kuwa serikali hiyo lazima izuiwe katika kudharau utawala wa sheria jambo ambalo ni msingi mkuu wa thamani ya taifa na kanuni ya utawala.

Ameongeza kuwa anahitaji mahakama iamuru serikali ilipe fidia vyombo hivyo vya habari vilivyofungwa na kusababishiwa hasara kutokana na jambo hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad