Tanzia: Cannavaro Apata Pigo Afiwa na Mwanaye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanzia: Cannavaro Apata Pigo Afiwa na Mwanaye
WAKATI akipambana kuitumikia klabu yake iliyoko nchini Shelisheli kucheza mechi za kimataifa, nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amepatwa na msiba baada ya kufiwa na mwanaye.
Mwanaye ambaye alikuwa bado mchanga amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Cannavaro anatarajia kuwasili nchini leo akitokea Shelisheli ambako amekwenda kuitumikia Yanga katika mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya St Louis. Yanga ilipata sare ya mabao 1-1 na kusonga mbele huku Cannavaro akicheza kwa dakika 90.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad