AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wa instagram wa Irene Uwoya ameandika
“Hivi kwanin wanawake tunakuwa hatupendani???yani najiulizaga sana badala sisi tushirikiane ndo kwanza tunarudishana nyuma…mtu akifanya kitu kizuri au biashara ndo wa kwanza kuponda na kurudishana nyuma…yani unamskia mtu kabisa anakuponda mbayaaa afu hujawah ata kugombana na nae na pengine unamsaidiaga tu sana”
“Yani unashangaaa wanaokuunga mkono ni wanaume badala ya wanawake wenzako afu ukifanya mabaya ndo anakusifia balaaah ili uwendeleee kuharibuuu…!afu Sasa yeye akifanya lake anataka umuunge mkono anasahau yeye hakuwah kufanya hivyo!!!yani kuna mijitu ina rohooo daaahhh!!!”
Mimi Sasa hiv nimeamua si support mtu yeyote asie ni support na haina haja ya kuleana kabisa mtu asiye kuwa na humuimu kwenye maisha yako haina haja ya kuwa sehemu ya maisha yako atakurudisha nyuma tu!!!”
“Achana na watu wasio na faida wala mchango wowote kwenye maisha yako badilika!!!achana na marafiki wanao kushauri stareheee tu sikuzote…kaaa fikiri katika hao rafiki zako kuna siku atamoja walikushauri kitu cha maana cha kuingiza pesa??? au bataaa tuuu??? punguza watu wasio na mashiko kwenye maisha yako punguza marafiki wasio na faida” -Uwoya
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK