VIDEO:Polisi Wasambaza Kipigo Kwa CHADEMA Kinondoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni wametumia mabomu ya machozi kutawanya wafuasi na viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA waliyokuwa wakitokea katika kampeni zao eneo la Mwananyamala kwa Makoma kuelekea Ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni. Maandamano hayo yaliongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu, Vicent Mashinji, Naibu Katibu Mkuu bara, John Mnyika pamoja na wabunge.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad