AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Safari hii Zari amewajia juu wale ambao wanamfuata mtandaoni na kumuuliza kuhusu kuachana kwake na Diamond. Zari akiwa Insta Live ameonyesha kuchukizwa na hilo.
Zari amesikika akisema hii nafasi, hili jukwaa ni kusuhu Zari pekee, sio Diamond, sio mama yake wala michepuke yake na kuongeza maneno makali kidogo, kisha kurudia tena hapa ni kuhusiana na Zari tu.
Utakumbuka Jumatano ya wiki iliyopita katika siku ya wapendanao (Valentine’s Day) Zari The Boss Lady alitangaza rasmi kuachana na Diamond kutokana na kuchoshwa na habari za kusalitiwa ambazo husikika kila siku katika vyombo vya habari. Katika mahusiano yao Diamond na Zari wamefanikiwa kupata watoto wawili ‘Tiffah na Nillan’.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mmm utu uzima dawa lakini kwa huyu mwezetu ni ugonjwa
ReplyDeletemmm napita tu ngoja tuone mwisho wa hii kiki
ReplyDelete