AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Rap Bongo,Harmorapa ameibuka na kuiponda Albamu ya Diamond ‘A boy from Tandale’ na kudai ni mbaya kama ilivyo sura yake.
Harmorapa ambaye amejipatia umaarufu kwa kudaiwa kupenda kiki ameiponda Albamu hiyo iliyofanyiwa uzinduzi rasmi nchini Kenya hivi karibuni.
“Bro #chibu nae kelele nyingi za album miez saba mwisho wa siku anatutolea Album mbovu kama sura yangu sokwecha kukushaur simba kama mkataba wako wa karanga umeisha kaa dukani kwa Dada yako #Esma umsaidie kuuza vitenge –
Dunia Kwa sasa inasubili ulbum yangu ya #uThigawePathi na ulubamu ya #kingkiba_for_life,“ ameandika Harmorapa kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK