AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshtakiwa huyo Catherine Syokau, ambaye ni mama wa watoto saba, alifikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Grace Omodho ambapo mtuhumiwa alikanusha mashtaka hayo na akaachiliwa kwa dhamana ya Ksh.500,000.
Imeelezwa kuwa mwanamke huyo alikwenda kwa siri kwenye chumba anachokaa mtoto huyo ambacho ni cha kupanga jioni ya Februari 25, 2018 ambako alianza kumvua nguo mtoto huyo na kumshawishi, kisha kuanza kumchezea sehemu zake za siri.
Mwanamke huyo pia anashtakiwa kumtishia kwa kisu mtoto huyo ya kwamba atamuua kama atasema kilichotokea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK