AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nape Nnauye amefunguka hayo wakati akijibu moja ya hoja ya mtu aliyemtuhumu yeye kama Mbunge wa CCM na kusema kiongozi huyo anajua na kuona haki za raia zikivurugwa
"Naamini unaitwa Kusiluka,nimesoma lawama zako kwangu,una haki ya kulaumu ili upumue, lakini kuna kikao nimeshiriki kupanga hayo unayonituhumu?! Nadhani kuwa mkweli kwa nafsi yako tuhuma hizo ni nzito si sawa kuzisema bila kuwa na hakika, sihusiki na hayo usemayo na nayalaani pia" Alidai Nape Nnauye
Nape Nnauye aliwataka Watanzania kwa pamoja kuwasha mishumaa ya matumaini na hapo ndipo mtu huyo alipoibuka mwananchi huyo na kusema kuwa kiongozi huyo yeye anatambua na kujua kinachoendelea nchini sasa, jambo ambalo Nape Nnauye amelikana na kusema hata yeye analaani kwa vitendo vinavyoendelea nchini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK