AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo March 14, 2018 ameweka jiwe la msingi katika sehemu ya pili ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa yaani “Standard Gauge” inayoanzia Morogoro hadi Makutupora Mkoani Dodoma.
Akiongea na wananchi na viongozi katika hafla hiyo JPM amewata Watanzania kufanya kazi kwa bidii ili kuacha kulalamika vyuma vimekaza.
"Asiefanya kazi asile, asipo kula afe, hiyo ndiyo lugha ya kuwaambia ukweli, mtu kama hafanyi kazi halafu analalamika vyuma vimebana amevibana mwenyewe" -Rais Magufuli
"Asiyefanya kazi na asile na asipokula afe" -Rais Magufuli
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK