''Bongo Movie Mnapaswa Kuwa na Nidhamu'' Joyce

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wasanii wa Filamu nchini wametakiwa kuwa na nidhamu ili kuwasaidia kuaminika kwa jamii kitu ambacho kitarahisisha ufanyaji wa kazi zao kutokana na taasisi za kifedha kuwasaidia.

Rai hiyo imetolea na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania (KBF) Joyce Fissoo, alipokuwa akiwasilisha mada katika kikao kazi cha maafisa Utamaduni na wadau wa filamu kilichofanyika mkoani Arusha.

”Mnapaswa kuwa na nidhamu ya hali ya juu, wasanii wengi hasa wa tasnia ya filamu mmeshindwa kuaminiwa kutokana na nidhamu inayotiliwa mashaka na wadau wenu ambao mngeweza kufanya nao kazi” amesema Mama Fissoo.

Naye Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Hargeney Chitukuro ameishukuru Bodi ya Filamu kwa kuupa mkoa wao fursa ya kukutanisha wadau wa tasnia hiyo na wao kama Serikali ya Mkoa wako tayari kutoa ushirikiano ili kuhakikisha vijana wanapata ajira ya uhakika kupitia filamu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad