AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NAIROBI, KENYA: Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa NASA, Raila Odinga wamezungumza na kukubaliana kumaliza mgawanyiko uliopo na kuliunganisha taifa hilo kuwa moja
Raila Odinga amesema yeye pamoja na ndugu yake Uhuru Kenyatta wamekubaliana kuwa mgawanyiko ulikuwepo toka enzi za uhuru unaisha tangu leo
Kwa upande wa Uhuru Kenyatta amesema taifa la Kenya ni kubwa kuliko mtu yeyote, hivyo lazima viongozi waungane ili wananchi na taifa kwa ujumla liungane
Makubaliano hayo ya viongozi hao wawili yamekuja baada ya kufanya mazungumzo leo asubuhi Machi 9, 2018 katika jengo la Harambee House
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK