AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hitmaker huyo wa African Beauty, amemtaja mrembo huyo ni malkia wa filamu nchini Wema Sepetu.
Akiongea kwenye kipindi cha Msetoea cha Radio Citizen, Diamond amesema, “Enzi za mahusiano yangu na Wema, ameshawahi kuniliza sana.”
Bosi huyo wa WCB pia ameongeza kuwa Babu Tale aliwahi kumwambia ajiweke pembeni kwenye mahusiano hayo wakati yupo na Wema kutokana na penzi hilo kutokuwa sawa, hata hivyo yeye alimjibu kuwa akiwa na mrembo huyo ni kama yupo peponi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK