AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Prezzo ambaye kwa sasa yupo Tanzania kwa ajili ya promotion ya ngoma yake na Dogo Janja ameiambia FNL ya EATV kuwa kuachana kwao ni baada ya Amber Lulu kumuona na wanawake wengine bila kujua ukweli wa ukaribu wao ila bado anampenda.
“Uzuri wangu mimi huwa na mademu wakati wote wamenizunguka, shida nyingine mtu akiniona na demu fulani labda ni dada au binamu yangu kwa sababu mimi nina familia Tanzania tayari ni kosa,” amesema Prezzo.
Licha ya kauli hiyo ya Prezzo bado wawili hao wameonekena wakiwa pamoja kwenye mitandao ya kijamii, siku ya jana Amber Lulu katika ukurasa wake wa Instagram alipost picha wakiwa pamoja na kuandika; ‘Napenda nnyaa kama Mende ilo tendo tulitendee #hamsamia’.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK