Dogo Janja Amekuwa James delicious ?- Young Tusso

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Dogo Janja Amekuwa James delicious ?- Young Tusso
Msanii wa HipHop nchini Tanzania, Young Tusso amefunguka na kumtaka Dogo Janja aende kuwaomba radhi wananchi wa mkoa wa Arusha kwa madai amewakosea sana kwa kitendo chake cha yeye kujifanya mwanamke katika video yake mpya ya Wayuwayu.
Young Tuso ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha e Newz inayorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV baada ya kupita siku kadhaa tokea Janjaro kutoa video ya wimbo huo na kupelekea kupondwa kwa watu wengi kwa kitendo alichokionesha licha ya kuwa wimbo huo mpaka sasa kuonekana kupendwa.

"Nilistushwa sana baada kuona instagram picha za Dogo Janja kumuona amekuwa mwanamke maana hata hivyo video haikuwa na ulazima wa weye kuwa mwanamke kwa hiyo mimi nimemtazama kama mtoto wa kiislamu. Dogo Janja sasa inabidi akaiombe msamaha Arusha", amesema Young Tusso.

Pamoja na hayo, Young Tusso ameendelea kwa kusema "nafikili mimi nipo tofauti kidogo sikubaliani na yeye kuwa 'video vixen'. Unajua kumuona msanii kama Dogo Janja halafu wa HipHop ambaye anatokea Arusha wenye asili ya ugumu kidogo kwa hiyo mwisho wa siku unamuona amekuwa James delicious tena inanipa tabu sana kuona hivyo"
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad