AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hilo
limesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Hosptali hiyo,
Dk Hellen Kondya wakati akizindua rasmi kamati ya uratibu na kamati ya
kudhibiti uadilifu wa hospitali hiyo.
Dk. Kondya amesema ni muhimu kuweka, uhusiano kati ya majukumu ya kamati hizo na maadili ya kitaaluma ambayo yamebainishwa vyema katika sheria mbalimbali za taaluma za sekta ya afya.
Naye Mkurugenzi mtendaji wa Muhimbili, Prof. Lawrence Museru amesema Hosptali hiyo imeunda kamati hizo ikiwa ni mwitikio wa utaratibu wa serikali unaozitaka idara za serikali na taasisi za umma kusimamia na kudhibiti uadilifu.
Dk. Kondya amesema ni muhimu kuweka, uhusiano kati ya majukumu ya kamati hizo na maadili ya kitaaluma ambayo yamebainishwa vyema katika sheria mbalimbali za taaluma za sekta ya afya.
Naye Mkurugenzi mtendaji wa Muhimbili, Prof. Lawrence Museru amesema Hosptali hiyo imeunda kamati hizo ikiwa ni mwitikio wa utaratibu wa serikali unaozitaka idara za serikali na taasisi za umma kusimamia na kudhibiti uadilifu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK