AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Risasi Jumamosi, Ester aliweka wazi kuwa, anatamani sana mtoto na kwa sababu tayari ana mtoto wa kiume, anahitaji kupata wa kike na ndio maana yuko kwenye mfungo maalumu wa siku 40 kwa ajili ya maombi hayo.
“Katika kipindi hiki cha Kwaresima na mimi nimefunga na kuomba, ombi langu kwa Mwenyezi Mungu ni la kutaka kupata mtoto wa kike maana ndilo hitaji langu. Ndiyo maana nimejitahidi kufunga kuanzia mwanzo mpaka nimalize 40,” alisema Ester.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK