Haji Manara Amwagia Sifa Kichuya " Kichuya ni Mess wa Bongo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Haji Manara Amwagia Sifa Kichuya " Kichuya ni Mess wa Bongo"
Manara amesema Kichuya anastahili kuwa Messi wa Tanzania kutokana na namna anavyojua kuuchezea mpira, amekuwa akifunga pia kuwatengenezea wenzie nafasi zingine za kufunga.

Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Shiza Kichuya, ametajwa kuwa Messi wa Tanzania baada ya kuifungia Taifa Stars bao la pili dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Kichuya alifunga bao hilo katika dakika ya 87 kufuatia kazi nzuri ya Mbwana Samatta aliyemtengenezea pasi na kumalizia kwa shuti kali la mguu wa kushoto lililompita Mlinda Mlango wa Congo.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Afisa Habari wa Simba, Haji Manara, aliandika kiufupi akimuelezea mchezaji huyo kuwa ni dhambi kumfananisha na Lionel Messi anayekipiga na FC. Barcelona halikadhalika timu ya taifa ya Argentina.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad