AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Leonard Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.
Baada ya kueleza hayo, Swai aliiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya washtakiwa hao kusomewa maelezo ya awali (Ph).
Baada ya kueleza, Hakimu Mashauri ameahirisha kesi hiyo hadi April 11, 2018 kwa ajili ya washtakiwa kusomewa maelezo ya awali.
Mbali ya Malinzi, washtakiwa wengine ni Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine na Mhasibu wa TFF, Nsiande Mwanga.
Washtakiwa hao walipandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza June 29,2017, wakikabiliwa na mashtaka 28 ya kughushi na kutakatisha fedha USD 375,418. 7
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK