AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda mara baada ya kurejea kutoka nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu, Wastara alisema kuwa, alikuwa akikiona kifo mara nyingi mno, lakini anaamini Mungu anampenda ndiyo maana amemwacha salama hadi leo.
“Nimeshamuona Israel Mtoa Roho mara nyingi sana, lakini kwa sababu Mungu ananipenda, bado ninapumua. Ninaamini Mungu atanipa uhai mrefu kutokana na majaribu niliyopitia,” alisema Wastara ambaye alikatika mguu kabla ya kufiwa na mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ n asana anakabiliwa na magonjwa mbalimbali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK