AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Johari ameeleza hayo wakati alipokuwa anajibu swali la Mwajuma Kawina aliyetaka kujua maendeleo ya mtoto wake aliyempa jina la Maria kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa mubashara kila siku ya Jumatano kuanzia saa 8:00 hadi 10:00 alasiri.
"Maria hajambo kabisa, yupo nyumbani. Siwezi kumuingiza mwanangu katika kuigiza maana huwezi kufahamu kipaji cha mtu akiwa bado mdogo maana ndio kwanza ana miaka mitatu", amesema Johari.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK