AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jokate ametoa kauli hiyo mchana wa leo (Machi 20, 2018) kupitia ukurasa wake wa kijamii akiwa wahabarisha wadau wake wakae mkao wa kula kusherehekea tukio hilo ambalo amelipanga kulifanya katika siku za usoni.
"March Quen, karibu nitakuwa mke wa mtu fulani na mama watoto wake. 'God is great and faithful, grown but forever a baby girl'. Ni kwa neema tu na rehema zake Mungu. Thank you loves for dragging me out to take these", amesema Jokate.
Jokate Mwegelo ameweza kuweka uwazi wa maisha yake ndani ya siku aliyoweza kuletwa duniani 'kuzaliwa' miaka kadhaa iliyopita tarehe na mwezi kama wa leo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK