AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Miongoni mwa wagombea hao leo tunaye Godfrey Wasonga ambaye aliita Waandishi wa habari ofisini kwake Dodoma na kuelezea mikakati yake endapo atapata nafasi hiyo.
Wasonga amesema …>>>”Nimekuwa na maono ya nafasi hii kwa muda mrefu sana na naamini huu ndio wakati muafaka, endapo nitachaguliwa kwanza nitahakikisha tunaiomba Serikali ibadilishe sheria ili uchaguzi huu uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu na sio mwaka mmoja kama ilivyo sasa”- Godfrey Wasonga
“Kwa kuanzia nikipata nafasi hii nitatoa ardhi ya heka kumi katika eneo lililo karibu na inapojengwa Ikulu ya nchi kwa ajili ya sisi kujenga makao makuu ya chama chetu cha TLS na nitashawishi baadhi ya watumishi kuhamia Dodoma” – Godfrey Wasonga
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK