AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ngassa amechukua headlines na umaarufu mkubwa katika soka la Tanzania akivichezea vilabu vya Yanga, Simba SC na Azam FC kutokana na kiwango chake kikubwa alichowahi kukionesha kwa sasa Ngassa amepoteza namba timu ya taifa, ila leo ameandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa instagrama.
“#mwambawaziwavictoria kuna muda wakusifiwa kuna muda wa kuzomewa wanao kushangilia Leo kesho wakikuzomea usiwapige Bali jiulize ulicho wakosea mpaka kukuzomea kisha ukipata jibu utafanya wakushangilie tena ni mawazo yangu 2 mchana mwema Enjoy soccer”>>> Ngassa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK