Kuna Muda Wakusifiwa na Muda wa Kuzomewa- Mrisho Ngassa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Kuna Muda Wakusifiwa na Muda wa Kuzomewa- Mrisho Ngassa
Moja kati ya majina makubwa katika soka la bongo ambayo yamewahi kuchukua headlines ni winga wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ambaye anaichezea Ndanda FC ya Mtwara kwa sasa Mrisho Khalfan Ngassa.

Ngassa amechukua headlines na umaarufu mkubwa katika soka la Tanzania akivichezea vilabu vya Yanga, Simba SC na Azam FC kutokana na kiwango chake kikubwa alichowahi kukionesha kwa sasa Ngassa amepoteza namba timu ya taifa, ila leo ameandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa instagrama.


“#mwambawaziwavictoria kuna muda wakusifiwa kuna muda wa kuzomewa wanao kushangilia Leo kesho wakikuzomea usiwapige Bali jiulize ulicho wakosea mpaka kukuzomea kisha ukipata jibu utafanya wakushangilie tena ni mawazo yangu 2 mchana mwema Enjoy soccer”>>> Ngassa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad