AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizingumza na Amani kwa njia ya simu akiwa Dubai, Davina alisema kuwa, kila anapokuwa huko kibiashara na akaweka picha mtandaoni, watu humhisihisi kuwa anasafirisha unga, jambo ambalo kamwe hawezi kulifanya.
“Yaani mimi safari zangu ni kwa ajili ya biashara zangu tu na kuhusu kujihusisha na biashara haramu za madawa ya kulevya, mimi huwa nasikia kwenye redio na kwenye magazeti, sithubutu, maisha bado ninayataka,” alisema Davina bila kutaja biashara inayompeleka Dubai mara kwa mara.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK