Maisha Bado Ninayataka Sithubutu Kujiusisha na Unga- Davina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maisha Bado Ninayataka Sithubutu Kujiusisha na Unga- Davina
MUIGIZAJI mahiri wa Bongo Movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amefungukia safari zake zake za Dubai akisema ni kwa ajili ya biashara halali na si biashara haramu ya madawa ya kulevya (unga).

Akizingumza na Amani kwa njia ya simu akiwa Dubai, Davina alisema kuwa, kila anapokuwa huko kibiashara na akaweka picha mtandaoni, watu humhisihisi kuwa anasafirisha unga, jambo ambalo kamwe hawezi kulifanya.

“Yaani mimi safari zangu ni kwa ajili ya biashara zangu tu na kuhusu kujihusisha na biashara haramu za madawa ya kulevya, mimi huwa nasikia kwenye redio na kwenye magazeti, sithubutu, maisha bado ninayataka,” alisema Davina bila kutaja biashara inayompeleka Dubai mara kwa mara.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad