Natamani Kanumba Angekuwa Hai Amuoe Wema - Mama Kanumba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Natamani Kanumba Angekuwa Hai Amuoe Wema - Mama Kanumba
Mama Mzazi wa marehemu Steve Kanumba amezungumza baada ya uvumi wa story kusambaa kuwa alikwenda kwa Wema Sepetu na hakufunguliwa mlango kitu kilichopelekea yeye kulalamika, Sasa Mama Kanumba kasema hajawahi kumuomba Wema msaada wala kwenda kwa WEMA.

Ameongezea kwa kusema anampenda Wema Sepetu na isitoshe kama Kanumba angekua hai basi angetamani Kanumba amuoe, pia amezungumzia ishu ya Lulu kasema hana shida naye na ameomba msamaha kwa watu aliowakwaza kuhusu Lulu na isitoshe kama atatoka jela akajishusha kwake yeye hana shida atamkaribisha nyumbani kwake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad