AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KENYA: Mbunge apendekeza la kubadili Ibara ya 260 ya Katiba na kuweka ukomo wa umri wa kuwania urais. Wenye miaka zaidi ya 70 kutoruhusiwa
Moja ya sababu ya kuweka ukomo kwa umri wa kugombea urais ni watu walio na umri mkubwa kuwa na uzalishaji mdogo pamoja na kusumbuliwa na maradhi ya mara kwa mara
Endapo mapendekezo hayo yatapitishwa Raila Odinga(78) hatoweza kugombea katika uchaguzi wa mwaka 2022
Hata hivyo mabadiliko hayo hayatomuathiri Makamu wa Rais wa sasa, Willium Ruto anayetajwa kuwa atawania Urasi mwaka 2022
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK