Mbunge Kenya Ataka Ukomo wa Umri wa Mgombea Rais Uwe Miaka 70....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KENYA: Mbunge apendekeza la kubadili Ibara ya 260 ya Katiba na kuweka ukomo wa umri wa kuwania urais. Wenye miaka zaidi ya 70 kutoruhusiwa

Moja ya sababu ya kuweka ukomo kwa umri wa kugombea urais ni watu walio na umri mkubwa kuwa na uzalishaji mdogo pamoja na kusumbuliwa na maradhi ya mara kwa mara

Endapo mapendekezo hayo yatapitishwa Raila Odinga(78) hatoweza kugombea katika uchaguzi wa mwaka 2022

Hata hivyo mabadiliko hayo hayatomuathiri Makamu wa Rais wa sasa, Willium Ruto anayetajwa kuwa atawania Urasi mwaka 2022
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad