Mchungaji Huyu Kiboko Awalazimisha Waumini Kulamba Viatu Vyake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Leo March 20, 2018 stori ninayokusogezea ni ya Mchungaji mmoja kutoka Nigeria ambae makao yake yapo Afrika Kusini ambapo amezua gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya ku-post picha zake wakati wa kuabudu mitandaoni.

Anafahamika kwa jina ‘Nabii’ Andrew Ejimadu ambae ni msimamizi mkuu wa kanisa la Christ Freedom Ministries alishangaza maelfu ya watu baada ya kupigwa picha zilizoonyesha waumini wa kanisa lake wakibusu na kulamba viatu vyake ili kupata baraka na miujiza.



Nabii huyo ndie aliyeweka picha hizo katika ukurasa wake wa Facebook na kuandika: “Nimebariki miguu yako, nimeosha nyayo zako.”

“Kitu cha kwanza kesho asubuhi, ikiwa utaandika Amen na ushirikishe ujumbe huu, kuna mtu atakupigia simu na miguu yako itakubeba hadi huko kuchukua zawadi maalum. Watu wengi watakosa hilo, jaribu,” – Andre Ejimadu





----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Na nyie awalambe kwenye miguu yenu mnakubali kudharirishwa namna hiyo kisa mchungaji

    ReplyDelete

Top Post Ad