Maneno ya Irene Uwoya kwa Msami ‘Usi-force, Panic na Yako’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maneno ya Irene Uwoya kwa Msami ‘Usi-force, Panic na Yako’
Leo March 20,2018 kwa upande wa burudani story ambayo na yenyewe inachukua headlines ni kutoka kwa mke wa msanii Dogo Janja, Irene Uwoya ambaye leo amechukua dakika zake kuandika Instargram ambapo amem-post staa wa muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni dancer Msami na kuandika caption ambayo imezua gumzo mtandaoni

Irene Uwoya ameandika…. >>> Mchezaji muziki bora Afrika usi-force ndio kuwa hapana na tafadhali panic kwa hatari yako mwenyewe @msamibaby

Lakini kwa upande wa comments muigizaji Steven Nyerere alionekana ku-comment kutokana na kile ambacho Irene Uwoya ameki-post kwenye page yake ya instagram.

Steven Nyerere ameandika…….>>>“Umeanza tena heee we mwanamke doh leo umemkumbuka tena wewe huyo linda ndoa tushachoka vikao vya ndoa”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad