AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Clara Chalwe, mbele ya hakimu mkazi mkuu, Huruma Shahidi, alidai kuwa Machi 2 mwaka huu katika eneo la Matitu, katika wilaya ya Kinondoni, mshtakiwa alisafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine Hydrochloride zenye uzito wa gramu 214.11.
Baada ya kusomewa hati ya mashtaka mtuhumiwa hakuruhusiwa kujibu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za dawa za kulevya isipokuwa kwa kibali kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
Hivyo, upande wa mashtaka umeiambia mahakama kwamba upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika, hivyo kesi imeahirishwa hadi Aprili 4 mwaka huu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK