AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza jana Mjini Dodoma, Kheri James alieleza masikitiko yake na kusema kuwa wizara hiyo inarudisha nyuma maendeleo ya wasanii ambao wengi wao ni vijana wanaojitafutia kipato kupitia tasnia hiyo.
“Mmemfungia Roma, mmemfungia Diamond na wengine, kila anaenyanyuka mamkata mguu, hivi mnavyowafungia mtaimba nyie?
“Kama wizara itendelea na tabia hiyo ya kuwafungia wasanii, na wao ndio viongozi wa sanaa je watamsimamia nani wakishawafungia wote?” alihoji Kheri.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kakutuma nani mshikaji?
ReplyDeleteKwani CCM inapowatimua viongozi ni kwa lengo gani?
Ukiacha Roma na Daimondi, kwani tz haina vijana wengine wNaotumbuiza vzuri tu kwa kufuata maadili ya nchi na sheria zilizowekwa?
Kwani hao uliowataja ndio hatimiliki ya muziki wote wa bongo flava?
Mbona kumbe mheshimiwa nawe hufanani na wadhiwa uliopewa?
Vp unashindwa kupambanua issue nyepesi tu kama hii?
Nikukumbushe: Kule nchini Italia kuna timu zilishushwa daraja. Kule Scotland nako ni hivo hivo. Zote sababu ni kuvunja sheria za futiboli nchini kwao.
Na halikusababisha kandanda kumalizika.
Nikukumbushe: Mrema alikuwa waziri wa CCM. Seif Sharrif alikuwa waziri kiongozi wa serikali ya CCM.
Sumaye alikuwa waziri mkuu mstaafu wa CCM. Lowassa alikuwa ndani ya NEC ya CCM.
Kimbau alikuwa kiongozi CCM.
Niendelee?
Nadhani wanatosha.
Je hawa wote wako wapi sasa?
Je CCM mwimbaji nani sasa?
Mheshimiwa James jiangalie usije ukatumbuliwa!!
Mndengereko Ukerewe