Timbulo Awapa Makavu Wanaoshobokea Mali Zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Timbulo Awapa Makavu Wanaoshobokea Mali Zake
Msanii wa BongoFleva anayetamba na kibao chake kipya cha 'Post', Timbulo amefunguka na kuwataka watu wasipagawe na vitu anavyokuwa anaviweka katika mitandao ya kijamii hasa hasa magari kwa madai sio ya kwake huwa anaazima ili apigie picha.


Timbulo amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz inayorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV baada ya watu wengi kujiuliza maswali mengi kuwa anapata wapi jeuri ya kubadilisha magari ya kifahari kila uchao wakati haonekani hata kufanya 'show' msanii huyo.

"Mimi ni msanii tu, halafu yale magari watu wasipagawane nayo ninayoyaweka instagram, ni magari ya ma-boss wakina Chief Kiumbe. Kwa hiyo wasipagawe na kila wanachokiona ukurasa wangu wa kijamii maana vingine vinakuwaga ni ku-entertain tu, ndio maana hatupendi hata kuweka wazi magari ya watu", amesema Timbulo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad