Mwigulu Atoa Msaada wa Cement na Mabati Kwaajili ya Ujenzi wa Zahanati na Mabweni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwigulu Atoa Msaada wa Cement na Mabati Kwaajili ya Ujenzi wa Zahanati na Mabweni

Mbunge wa Iramba Magharibi Dk. Mwigulu Nchemba ametoa mabati 210 na cement mifuko 100 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati na mabweni ya wanafunzi, Kata ya Mtoa ili kusaidia kupunguza adha wanayopata wananchi  kufata huduma umbali wa zaidi ya kilimota 10.




Mh.  Nchemba amesema anakerwa na jengo kukaa mda mrefu bila kumaliziwa hivyo ameamua kutoa bati 210 na kuchangia shilingi milioni moja na nusu kwa ajili ya ununuzi wa mbao ili ujenzi uanze mara moja na kikamilike ndani ya mwaka huu ili kianze kutoa huduma.

"Mimi nakerwa na jengo kukaa mda mrefu hivi, hatulali hata sekunde tunaendelea kutafuta mbao na bati nyingi zikafunike baadhi ya vituo kwahiyo ninapoona jengo lipo hivi wala mtu asidhanie nafurahia jengo libaki vilee" amesema Dk. Nchemba

Nao wananchi wa kata ya mto awamemshukuru mbunge wao kwa kuwaletea mabati na cement kwa ajili ya kumalizia zahanati yao ya mtoa pamoja na mabweni kwani ni jambo ambalo walikuwa wanalilia kupata zahanati hiyo.

Mh. Nchemba yupo jimboni Iramba kwa ziara maalumu ya kutekeleza ahadi alizotoa wakati akitafuta nafasi ya ubunge 2015.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad