Nicole Franklin Afunguka 'Nilimpenda MC Pili Pili Kwa Ushamba Wake Huo Lakini Alinivunja Moyo sana Najuta"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimejaribu kumsikiliza huyu dada Nicole Franklin Miss Shinyanga 2014 kuhusu mahusiano yake na MC Pilipili au Emmanuely yalivyovunjika lakini hayaeleweki maana inaonekana huyu dada alimpenda sana MC Pilipili na alikuwa na uhakika naye kimaisha lakini MC Pilipili alipotea na kumkatisha tamaa kabisa huyu dada.

Kweli mapenzi huwafanya wanadamu kubadilika kabisa na kubadili hata mitazamo yao kimaisha.

VIDEO:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad