AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo ameiambia Clouds Fm kuwa kitu hicho kilitokea katika kolabo kati yake na Mwasiti ‘Hao’ na alimueleza wazi muimbaji huyo kuwa hiyo ngoma ingekuwa kubwa kabla hata ya kutoka.
“Nilimwambia Mwasiti mimi nina tatizo moja nikiandika wimbo na kalamu nyekundu, hiyo ni balaa, hit balaa, lakini sio wewe umeenda kuninunulia dukani unipe,” amesema Chidi Benz.
Katika hatua nyingine Chidi Benz amesema kolabo yake bora kwa muda wote ni hiyo aliyofanya na Mwasiti kwani ilichukua hadi tuzo nchini Kenya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK