AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa mamlaka hiyo, radio hiyo iitwayo Radio Miraya imefungwa kutokana na kushindwa kufuata masharti na sheria za vyombo vya habari nchini humo.
Inaelezwa kuwa chombo hicho cha habari kimekuwa kikipokea vitisho vya kusitishiwa shughuli zake na mamlaka hiyo tangu mwaka 2016 na hatimaye jambo hilo limefanyika.
Akizungumzia suala hilo mbele ya vyombo vya habari, Mkuu wa Mamlaka hiyo Elijah Alier Kuai, ameeleza kuwa radio hiyo imeshindwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria zinazoongoza vyombo vya habari na hiyo ndio sababu kubwa ya kufungiwa.
‘Kuna kikundi kimetumia mtandao wa Telegram kuhamasisha maandamano’-Polisi Makao Makuu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK