Tanesco Waanika Chanzo cha Kukatika kwa Umeme

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanesco Waanika Chanzo cha  Kukatika kwa Umeme
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema chanzo cha kukatika kwa umeme usiku wa kuamkia leo Machi 10, 2018 kumetokana na hitilafu katika mfumo wa gridi ya Taifa.

Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Machi 10, 2018 inaeleza kuwa hitilafu hiyo imesababisha  kukosekana kwa huduma ya umeme katika maeneo na mikoa yote iliyoungwa kwenye gridi hiyo.

Inaeleza kuwa baada ya hitilafu hiyo kutokea, mafundi na wataalamu wamechukua hatua za haraka na bado wako kazini kuhakikisha kuwa umeme unarejea mapema kadri iwezekanavyo.

“Uongozi wa shirika unaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza. Tafadhali usishike wa kukanyaga waya ulioanguka au uliokatika, ukiuona toa taarifa,” inaeleza taarifa hiyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad