Rais Magufuli Aongoza Mkutano wa Baraza la Taifa la Biashara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli Aongoza Mkutano wa Baraza la Taifa la Biashara
Leo March 19, 2018 Moja ya shughuli inayoendelea ikulu ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli Ambae ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara anaongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo.

Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ikulu, Gerson Msigwa kupitia ukurasa wa Twitter amesema kauli mbiu katika mkutano huo ni “Tanzania ya viwanda – ushiriki wa sekta binafsi”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad