AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meya wa manispaa ya Bukoba Chief Kalumna amesema walipokea fedha za mradi wa barabara kutoka benki ya Dunia takribani Billion 6 na walitangaza zabuni ya ujenzi wa barabara hizo, kampuni ya ujenzi Mecco ilishinda katika mchakato huo lakini wameitwa kusaini mkataba wamekataa bila sababu zozote hali iliyopelekea manispaa kushindwa kutekeleza mradi kwa muda uliopangwa na kuamua kutangaza zabuni upya.
Kwa upande wake mkuu wa mkoa Kagera Meja Jeneral mstaafu Salum Kijuu amemuagiza Mkuu wa polisi Kagera kumkamata mkandarasi huyo na kumfikisha ofisini kwake akiwa na pingu ili aweze kueleza kwa nini amesababisha usumbufu huo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK