AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kim alitoa ahadi hiyo alipokuta na Wawakilishi wa Serikali ya Korea Kusini. Hata hivyo Trump amesema vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea hadi yatakapofanyika makubaliano
Trump na Kim wanafikia hatua ikiwa ni baada ya miezi mingi ya vitisho na vijembe walivyokuwa wakirushiana. Hii ni hatua kubwa baina ya mataifa hayo hasimu pamoja na usalama wa dunia kwa ujumla.
Marekani na Korea Kaskazini zimekua nchi hasimu kwa miaka mingi ingawa aliyewahi kuwa Rais wa Marekani, Jimmy Carter aliitembelea Korea Kaskazini mwaka 1994.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK