Trump Akubali Mualiko wa Kukutana na Kim Jong Un

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Trump Akubali Mualiko wa Kukutana na Kim Jong Un
RAIS wa Marekani, Donald Trump amekubali kukutana na Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un baada ya kuahidi kusitisha mpango wake wa majaribio ya nyuklia na makombora.

Kim alitoa ahadi hiyo alipokuta na Wawakilishi wa Serikali ya Korea Kusini. Hata hivyo Trump amesema vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea hadi yatakapofanyika makubaliano

Trump na Kim wanafikia hatua ikiwa ni baada ya miezi mingi ya vitisho na vijembe walivyokuwa wakirushiana. Hii ni hatua kubwa baina ya mataifa hayo hasimu pamoja na usalama wa dunia kwa ujumla.

Marekani na Korea Kaskazini zimekua nchi hasimu kwa miaka mingi ingawa aliyewahi kuwa Rais wa Marekani, Jimmy Carter aliitembelea Korea Kaskazini mwaka 1994.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad