AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KIGALI, RWANDA: Serikali imeyafunga Makanisa zaidi ya 700 kwa kukosa kutimiza masharti yaliyowekwa ya usafi na usalama
Afisa wa Serikali Justus Kangwagye amesema Kutumia uhuru wa kuabudu hakufai kuingilia haki za watu wengine
Taarifa zinasema baadhi ya Makanisa yamekuwa yakifanya kazi kwa kutumia mahema na hayana maeneo ya kutosha ya kuegesha magari ya waumini
Baadhi ya waumini wamekuwa wakiegesha magari yao pembezoni mwa barabara na kusababisha misongamano ya magari
Aidha, amesema baadhi ya Makanisa hayo yalikuwa yakifanya kazi bila kuwasilisha upya maombi ya leseni na kwamba hawataruhusu yafunguliwe
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK