Serikali imeyafunga Makanisa ya Kikristo zaidi ya 700

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KIGALI, RWANDA: Serikali imeyafunga Makanisa zaidi ya 700 kwa kukosa kutimiza masharti yaliyowekwa ya usafi na usalama

Afisa wa Serikali Justus Kangwagye amesema Kutumia uhuru wa kuabudu hakufai kuingilia haki za watu wengine

Taarifa zinasema baadhi ya Makanisa yamekuwa yakifanya kazi kwa kutumia mahema na hayana maeneo ya kutosha ya kuegesha magari ya waumini

Baadhi ya waumini wamekuwa wakiegesha magari yao pembezoni mwa barabara na kusababisha misongamano ya magari

Aidha, amesema baadhi ya Makanisa hayo yalikuwa yakifanya kazi bila kuwasilisha upya maombi ya leseni na kwamba hawataruhusu yafunguliwe
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad